Lyrics
Nalikungoja Bwana Kwa zaburi Ukasikia kilio changu (Repeat) Chorus Umetia wimbo mpya, Kinywani mwangu. Umetia wimbo mpya, Kinywani mwangu. Ndio sifa za Mungu Verse 2 Umesimamisha miguu yangu mwambani’ Hatua zangu umezihiimarisha, (Repeat) Chorus Umetia wimbo mpya, Kinywani mwangu. Umetia wimbo mpya, Kinywani mwangu. Ndio sifa za Mungu (A new song, a new testimony) Verse 3 Kuyatangaza na kuubiri matendo yako Ni mengi Haya-hesabiki Kuyafanya mapenzi yako Ewe Mungu wangu Ni furaha ya moyo wangu Chorus Umetia wimbo mpya, Kinywani mwangu. Umetia wimbo mpya, Kinywani mwangu. Ndio sifa za Mungu Ndio sifa za moyo Ndio sifa za moyo Ndio sifa za moyo Sifa za furaha (Ndio sifa za Mungu) Sifa za ushindi (Ndio sifa za Mungu) Sifa za faraja (Ndio za Mungu)